Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Haki za Binadamu laanzisha kikao cha kawaida Geneva

Baraza la Haki za Binadamu laanzisha kikao cha kawaida Geneva

Baraza la Haki za Binadamu leo limeanza rasmi kikao chake cha kawaida cha kumi na mbili mjini Geneva. Mkutano ulianza kwa majadiliano ya hadhi ya juu ambapo wawakilishi wa Sri Lanka, Marekani na Thailand walihutubia.

Mnamo tarehe 29 Novemba Baraza la Haki za Binadamu litazingatia matokeo ya ujumbe wa kutafuta ukweli juu ya taathira ya mashambulio ya Tarafa ya Ghaza, uliongozwa na Jaji Richar Goldstone wa Afrika Kusini.