Mashirika ya UM yaripoti mapigano makali yameshtadi Yemen Kaskazini
Mapigano makali yalioshtadi baina ya vikosi vya Al Houti na majeshi ya serikali Yemen kaskazini, kwenye maeneo ya mji wa Sa\'ada yanaripotiwa kuendelea bila kujali usalama wala hali ya raia wa kawaida.