Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

OCHA inasema mafuriko Afrika Magharibi yameathiri watu 350,000

OCHA inasema mafuriko Afrika Magharibi yameathiri watu 350,000

Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imeripoti Afrika Magharibi inaathiriwa hivi sasa na mafuriko makubwa yaliofumka katika siku za karibuni.