Wajumbe wa Mkutano wa Kupunguza Silaha wajitahidi kufikia mapatano kwenye mradi wa kazi
Alkhamisi, wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa Kupunguza Silaha Duniani, unaofanyika Geneva kwa hivi sasa, bado wanaendelea na juhudi za kusuluhisha mvutano juu ya mradi wa kufanya kazi wa kikao hicho.