Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabatamzinga wa Chile wakutikana na virusi vya H1N1

Mabatamzinga wa Chile wakutikana na virusi vya H1N1

Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limetoa taarifa yenye kueleza wafugaji kuku na ndege ulimwenguni wameingiwa wasiwasi mkuu baada ya kugunduliwa homa ya mafua ya A/H1N1 miongoni mwa mabatamzinga wa katika taifa la Amerika Kusini la Chile.