Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Sekta ya ilimu Sierra Leone inapitia matatizo, UNICEF yahadharisha

Sekta ya ilimu Sierra Leone inapitia matatizo, UNICEF yahadharisha

Shirika la UNICEF limetoa ripoti yenye kuonyesha watoto 300,000 hutoroka skuli na hawahudhurii madarasa katika taifa la Afrika Magharibi la Sierra Leone.