Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP imeamua kudondosha kutoka angani chakula kwa wakazi muhitaji wa JKK

WFP imeamua kudondosha kutoka angani chakula kwa wakazi muhitaji wa JKK

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limearifu kwamba litaandeleza operesheni za kuwapatia chakula raia 10,000 muhitaji waliopo katika eneo la Dingile, katika mashariki ya JKK kwa kuidondosha misaada hiyo kutoka kwenye ndege.