Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashambulio ya LRA Sudan Kusini yachochea uhamisho wa dharura kwa raia

Mashambulio ya LRA Sudan Kusini yachochea uhamisho wa dharura kwa raia

Imeripotiwa hii leo na msemaji wa KM kwamba maelfu ya raia wamekimbia makazi kwenye eneo la Equatoria ya Magharibi katika Sudan, baada ya kundi la waasi wa Uganda la LRA kushambulia eneo hili.