Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNISDR inasema onyo la mapema linahitajika kupunguza athari za mporomoko wa ardhi

UNISDR inasema onyo la mapema linahitajika kupunguza athari za mporomoko wa ardhi

Shirika la UM juu ya Miradi ya Kimataifa Kukabili Maafa (UNISDR) limetoa taarifa inayotabiri kukithiri kwa miporomoko ya ardhi duniani, kwa mwaka huu, kwa sababu ya mvua kali na mabadiliko ya hali ya hewa yaliotanda kimataifa.