Tanzania yafadhilia uraia Waburundi wahamiaji 3,500 ziada
Wiki hii Serikali ya Tanzania imeripotiwa kutoa uraia kwa wahamiaji 3,568 kati ya wahamiaji 162,000 wa kutoka Burundi waliopeleka maombi ya kutaka uraia baada ya kuishi nchini humo kwa zaidi ya miaka thelathini.