Dawa ya chanjo kutibu A/H1N1 ni salama kutumiwa, imethibitisha WHO
Shirka la Afya Duniani (WHO) leo limetoa taarifa maalumu inayokana madai yasio msingi, yalioenezwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa, juu ya usalama dhaifu wa zile dawa za chanjo kinga dhidi ya maambukizo ya janga la homa ya mafua ya aina A/H1N1.