Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahamiaji wa Usomali Kenya kufadhiliwa na UNHCR msaada wa $20 milioni

Wahamiaji wa Usomali Kenya kufadhiliwa na UNHCR msaada wa $20 milioni

Antonio Guterres, Kamishna Mkuu wa UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) kwenye ziara yake rasmi nchini Kenya wiki hii alitangaza kwamba watafadhilia msaada wa dola milioni 20 kutumiwa kukidhi mahitaji ya wahamiaji wa Usomali pamoja na jamii ya wenyeji wao waliopo Kenya