Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

EU itaifarajia WFP Yuro milioni 34 kukuza uzalishaji wa kilimo kwa nchi maskini

EU itaifarajia WFP Yuro milioni 34 kukuza uzalishaji wa kilimo kwa nchi maskini

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripoti leo kwamba litafadhiliwa mchango wa yuro milioni 34 kutoka Umoja wa Ulaya (EU) ili kuwasaidia wakulima wadogo wadogo katika Afrika, Asia na Amerika ya Latina kuimarisha uzalishaji wa mazao kwenye maeneo yao.