Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watu 50,000 wameng'olewa makazi na fujo zilizoipamba JKK mashariki

Watu 50,000 wameng'olewa makazi na fujo zilizoipamba JKK mashariki

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) kwenye taarifa iliotangaza Geneva asubuhi ya leo katika mkutano na waandishi habari, imeripoti raia 56,000 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK) walilazimika kung\'olewa makazi katika jimbo la mashariki kufuatia fujo zilizofumka tena kwenye eneo hilo mnamo tarehe 12 Julai.