Wapiganaji watoto Darfur wameanza kupokonywa silaha na UM
Watoto 36 waliohusiana na makundi yenye silaha katika mji wa Tora, Darfur Kaskazini, wameripotiwa na UM kwamba Ijumapili walipokonywa silaha na mashirika ya kimataifa, na baadaye kurudishwa makwao.