Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wapiganaji watoto Darfur wameanza kupokonywa silaha na UM

Wapiganaji watoto Darfur wameanza kupokonywa silaha na UM

Watoto 36 waliohusiana na makundi yenye silaha katika mji wa Tora, Darfur Kaskazini, wameripotiwa na UM kwamba Ijumapili walipokonywa silaha na mashirika ya kimataifa, na baadaye kurudishwa makwao.