Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Taarifa rekibisho ya maambuziki ya A/H1N1 kutoka WHO

Taarifa rekibisho ya maambuziki ya A/H1N1 kutoka WHO

[Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti Ijumaa, kutokea Geneva kwamba maambukizi ya homa ya mafua ya A/H1N1 bado yanaendelea kimataifa, hali ambayo imeshasababisha vifo vya wagonjwa 800 katika nchi 160 duniani, zilizoripoti kugundua maambukizi ya maradhi haya kwenye maeneo yao.