Ban anaamini miradi ya kudhibiti uchafuzi wa hali ya hewa Uchina inaweza kurudiwa kimataifa
KM Ban Ki-moon, ambaye anafanya ziara ya siku nne katika Uchina, Ijumaa alihudhuria mjini Beijing, tukio la kuanzisha mradi bia wa UM na Serikali ya Uchina kuhimiza umma wa huko, kutumia ile balbu ya taa yenye kuhifadhi nishati na inayotumika kwa muda mrefu.