FAO imeanzisha huduma ya pamoja kupiga vita Ugonjwa wa Midomo na Miguu unaoambukiza wanyama
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) leo limeanzisha operesheni mpya za kupambana na tatizo la kusambaa kwa Ugonjwa wa Midomo na Miguu wenye kuambukiza wanyama.