Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mafanikio ya Mkutano wa Copenhagen yatahitajia $10 bilioni, anasema de Boer

Mafanikio ya Mkutano wa Copenhagen yatahitajia $10 bilioni, anasema de Boer

Yvo de Boer, Katibu Mtendaji anayesimamia Mfumo wa Mkataba wa Kimataifa Kudhibiti Athari za Mabadiliko ya Hali ya Hewa Duniani, amenakiliwa akisema kunahitajika mchango wa dola bilioni 10 kudhibiti, kihakika, athari za mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni.