22 Julai 2009
Mahakama ya Kudumu ya Kuamua Migogoro, iliopo Hague, Uholanzi leo imetangaza hukumu yake kuhusu mipaka ya eneo la mabishano la Abyei, ambapo utawala wake unagombaniwa na Sudan Kaskazini na Sudan Kusini.
Mahakama ya Kudumu ya Kuamua Migogoro, iliopo Hague, Uholanzi leo imetangaza hukumu yake kuhusu mipaka ya eneo la mabishano la Abyei, ambapo utawala wake unagombaniwa na Sudan Kaskazini na Sudan Kusini.