Nchi Wanachama zaweza kufarajia kupima H1N1, yasisitiza WHO
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kwamba nchi wanachama, hivi sasa zinazo uwezo wa kufarajia kitaifa hatua za kupima viwango vya maambukizi ya maradhi ya homa ya mafua ya A/H1N1 katika maeneo yao.