Usubi waweza kufyekwa Afrika Magharibi kwa dawa ya 'ivermectin': WHO
Matokeo ya utafiti mpya wa Shirika la Afya Duniani (WHO), kuhusu maradhi ya usubi (river blindness) katika sehemu za Afrika Magharibi, yamethibitisha kwamba ugonjwa huu unawezekana kukomeshwa kikamilifu na wataalamu wa kimataifa.