Hali ya wasiwasi Usomali imekwamisha, kwa muda, huduma za kiutu
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR), kwa kupitia msemaji wake Geneva, leo limeripoti kwamba muongezeko wa hali ya wasiwasi katika Usomali unazidisha ugumu wa uwezo wa watumishi wanaohudumia misaada ya kiutu kuwafikia waathirika wa karibuni wa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.