Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNCTAD inasisitza kunahitajika wizani bora kuhamasisha maendeleo katika LDCs

UNCTAD inasisitza kunahitajika wizani bora kuhamasisha maendeleo katika LDCs

[Shirika la UM juu ya Biashara na Maendeleo (UNCTAD), kwenye ripoti yake iliotolewa rasmi Ijumanne, yenye mada isemayo Ripoti ya 2009 kwa Nchi Zinazoendelea - Utawala wa Kitaifa na Maendeleo, ilihimiza serikali ziruhusiwe kuongoza majukumu ya kufufua shughuli halisi za uchumi na maendeleo kwa hivi sasa.