Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu wa FAO wanaashiria Benin itajitosheleza mahitaji ya mpunga katika 2011

Wataalamu wa FAO wanaashiria Benin itajitosheleza mahitaji ya mpunga katika 2011

Wataalamu wa Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) wanaashiria taifa la Benin, katika Afrika Magharibi, kutokana na mradi mpya utakaowasilishwa nchini humo katika miezi ya karibuni, taifa hilo litaweza kuzalisha mavuno ya mpunga kwa kiwango kikubwa kabisa na kupunguza gharama za kuagiza mpunga kutoka nchi za kigeni.