Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Taarifa mpya ya homa ya mafua ya A(H1N1) - Rakamu ya 58

Taarifa mpya ya homa ya mafua ya A(H1N1) - Rakamu ya 58

Taarifa mpya ya Shirika la Afya Duniani (WHO) juu ya homa ya mafua ya aina ya A(H1N1), yenye rakamu ya 58, iliotolewa Ijumatatu, tarehe 06 Julai 2009, imeeleza watu zaidi ya 94,000 walisajiliwa rasmi kuambukizwa na maradhi haya ulimwenguni, na kusababisha vifo 400 ziada.