Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM awahimiza wajumbe wa Kundi la G-8 kuharakisha misaada, hasa kwa Afrika

KM awahimiza wajumbe wa Kundi la G-8 kuharakisha misaada, hasa kwa Afrika

Kadhalika, kwenye hotuba aliotoa Ijumatatu, mbele ya wawakilishi wa Vyeo vya Juu, waliohudhuria Mkutano wa Baraza la UM juu ya Uchumi na Jamii (ECOSOC) Geneva, KM alizisihi nchi wanachama wa jumuiya ya mataifa yenye maendeleo ya viwandani, wa Kundi la G-8, kuhakarisha misaada walioahidi kuzipatia nchi masikini kwa mwaka ujao, hasa nchi za Afrika.