Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Misri kutangaza itafungua mipaka na Ghaza mara tatu kwa mwezi kuhudumia misaada ya kiutu

Misri kutangaza itafungua mipaka na Ghaza mara tatu kwa mwezi kuhudumia misaada ya kiutu

Mkuu wa serikali ya utawala wa Tarafa ya Ghaza, anayehusika na masuala ya mipaki, Ghazi Hamad, aliripoti kuwa wenye madaraka Misri wamearifu rasmi kuwa na sera mpya juu ya kivuko cha Rafah, mpakani baina ya Misri na Tarafa ya Ghaza.