Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

DPRK imefyatua makombora, na kutotii mapendekezo ya BU

DPRK imefyatua makombora, na kutotii mapendekezo ya BU

UM umepokea taarifa zenye kueleza kwamba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Umma wa Korea/Korea ya Kaskazini (DPRK) mnamo saa za magharibi kwa majira ya eneo, Alkhamisi ya leo, ilirusha makombora ya masafa madogo, yaliotambuliwa kuwa ya aina ya makombora yanayotumiwa kupiga vyombo vya baharini.