Idadi kubwa ya wahamaji wa Usomali na Ethopia wanaotoroshwa Afrika Kusini huteswa na wafanya magendo, inaripoti IOM
Shirika la Kimataifa juu ya Wahamaji (IOM) limetoa ripoti mpya kuhusu "uhamaji usio wa kawaida" ambao huwatesa wale watu wanaotoroshwa kimagendo kutoka Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika, wanaopelekwa Afrika Kusini.