Ripoti ya kisayansi kuonya walimwengu, mabadiliko ya hali ya hewa duniani sio mzaha
Wataalamu wa kimataifa wa katika fani ya sayansi, juzi waliwasilisha ripoti mpya yenye kusisitiza kwamba mabadiliko ya hali ya hewa, yalioripotiwa kujiri kimataifa katika miaka ya karibuni, ni matukio hakika kwenye mazingira na sio mnong’ono wala makisio.