19 Juni 2009
Ijumamosi ya tarehe 20 Juni 2009, itahishimiwa rasmi na UM kuwa ni ‘Siku ya Wahamiaji Duniani\'. Kaulimbiu ya mwaka huu inasema "Mahitaji Hakika, kwa Umma Halisi".
Ijumamosi ya tarehe 20 Juni 2009, itahishimiwa rasmi na UM kuwa ni ‘Siku ya Wahamiaji Duniani\'. Kaulimbiu ya mwaka huu inasema "Mahitaji Hakika, kwa Umma Halisi".