UNIDO na kampuni ya HP wafungua vituo vya mafunzo katika Afrika na Mashariki ya Kati
Shirika la UM juu ya Maendeleo ya Viwanda (UNIDO) ikishirikiana na kampuni ya teknolojiya ijulikanayo kama HP, yametangaza kufungua vituo 20 vya mafunzo katika Afrika na Mashariki ya Kati, vitavyotumiwa kuilimisha vijana wa umri wa baina ya miaka 16 mpaka 25, mafunzo yanayohusika na ujasiriamali na teknolojiya ya mawasiliano ya kisasa.