Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

'Watu milioni 42 waling'olewa makwao duniani 2008': UNHCR

'Watu milioni 42 waling'olewa makwao duniani 2008': UNHCR

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) leo imewasilisha ripoti ya mwaka ambapo imeeleza idadi ya watu waliolazimika kuyahama mastakimu, kwa sababu ya mateso, fujo na vurugu ulimwenguni, mnamo mwisho wa 2008, ilifikia wahamiaji milioni 42.