Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IAEA inaripoti matumaini kuhusu mazungumzo ya Iran-Marekani, na wasiwasi kufuatia majaribio ya kinyuklia ya DPRK

IAEA inaripoti matumaini kuhusu mazungumzo ya Iran-Marekani, na wasiwasi kufuatia majaribio ya kinyuklia ya DPRK

Ripoti ya Mkuu wa Shirika la UM juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Kinyuklia (IAEA), Mohamed ElBaradei iliowakilishwa kwenye Bodi la Magavana, imebainisha kuwa na matumaini ya kutia moyo, katika kuanzisha mazungumzo baina ya Teheran na Washington, kuzingatia masuala ya miradi ya kinyuklia inayoendelezwa na Iran hivi sasa pamoja na mada nyeginezo.