Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

BU laamrisha vikwazo ziada dhidi ya DPRK

BU laamrisha vikwazo ziada dhidi ya DPRK

Baraza la Usalama limekutana leo adhuhuri, na kupitisha, kwa kauli moja, azimio 1874 (2009) liliopendekeza kuchukuliwa hatua kali za kuweka vikwazo dhidi ya miradi ya kutengeneza silaha za kinyuklia na makombora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Umma wa Korea/Korea ya Kaskazini (DPRK).