Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali katika Usomali inasailiwa na kundi la ICG kwenye mkutano wa Roma

Hali katika Usomali inasailiwa na kundi la ICG kwenye mkutano wa Roma

Kuanzia tarehe 09 mpaka 10 Juni (2009) wawakilishi kutoka nchi 35, wakichanganyika na wale wa kutoka mashirika ya kimataifa wamekusanyika mjini Roma, Utaliana kuhudhuria kikao cha 15 cha lile Kundi la Kimataifa la Mawasiliano ya Suluhu ya Usomali (ICG), kikao kitakachoongozwa na Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Ahmedou Ould-Abdallah.