Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN-HABITAT/UNIFEM yatashirikiana kupiga vita udhalilishaji na utumiaji mabavu dhidi ya wanawake

UN-HABITAT/UNIFEM yatashirikiana kupiga vita udhalilishaji na utumiaji mabavu dhidi ya wanawake

Mashirika mawili ya UM, yaani lile shirika juu ya makazi, UN-HABITAT, na lile shirika linalohusika na mfuko wa maendeleo kwa wanawake, UNIFEM, yameshirikiana rasmi kujumuika bia kukabiliana na tatizo la udhalilishaji na matumizi ya mabavu dhidi ya wanawake na watoto wa kike, katika miji ya mataifa yanayoendelea.