Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mazungumzo ya kudhibiti mabadiliko ya hali ya hewa yaanza rasmi Bonn

Mazungumzo ya kudhibiti mabadiliko ya hali ya hewa yaanza rasmi Bonn

Duru ya pili ya Mazungumzo ya UM juu ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa Duniani imeanza rasmi majadiliano Ijumatatu ya leo, kwenye mji wa Bonn, Ujerumani ambapo kutazingatiwa, kwa mara ya kwanza, waraka wa ajenda iliofikiwa na nchi wanachama karibuni, ya kudhibiti bora taathira za mageuzi ya mazingira yanayoletwa na hali ya hewa ya kigeugeu.