Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Zimbabwe itahitajia dola milioni 719 kuhudumia kidharura umma

Zimbabwe itahitajia dola milioni 719 kuhudumia kidharura umma

UM imeripoti Zimbabwe inahitajia wahisani wa kimataifa kuchangisha msaada wa dharura, kwa mwaka huu, unaokadiriwa dola milioni 719 kukidhi mahitaji ya kiutu kwa umma na kufufua uchumi nchini, baada ya shughuli hizo kuporomoka nchini karibu miaka kumi.