Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IFRC inabashiria kuongezeka karibuni kwa wagonjwa wa kipindupindu Zimbabwe

IFRC inabashiria kuongezeka karibuni kwa wagonjwa wa kipindupindu Zimbabwe

Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC), linabashiria mnamo siku chache zijazo jumla ya watu walioambukizwa na maradhi ya kipindupindu katika Zimbabwe itafikia 100,000.