Nchi zinazoendelea zahitajia misaada maridhawa kuokoka na mizozo ya fedha, inashauri UM
UM umearifu ya kuwa fungu kubwa la mataifa yanayoendelea hivi sasa yanafanana na waathiriwa wasio hatia wa ile mizozo ya fedha iliopamba karibuni kwenye soko la kimataifa, wakati mataifa tajiri, yaliosababisha mzozo huo, hayajaonyesha dhamira ya kuzisaidia nchi maskini katu kukabiliana na mgogoro huu wa fedha.