Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utekaji nyara wa misaada ya kihali Usomali umelaumiwa vikali na UNICEF

Utekaji nyara wa misaada ya kihali Usomali umelaumiwa vikali na UNICEF

Imetangazwa na Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) kuwa inalaani, kwa kauli kali, utekaji nyara pamoja na uharibifu wa misaada ya kiutu na majengo yake, ulioripotiwa kuendelezwa na majeshi ya mgambo kwenye mji wa Jowhar katika Usomali.