Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vifo vya watoto wachanga vimeteremeka karibuni, imeripoti WHO

Vifo vya watoto wachanga vimeteremeka karibuni, imeripoti WHO

Shirika la Afya Duniani (WHO) limewasilisha ripoti mpya ya maendeleo inayofungamana na zile juhudi za kuyatekeleza, kwa wakati, Malengo ya Maendeleo ya Milenia yanayohusu juhudi za kupunguza vifo vya watoto wachanga ulimwenguni.