Vifo vya watoto wachanga vimeteremeka karibuni, imeripoti WHO
Shirika la Afya Duniani (WHO) limewasilisha ripoti mpya ya maendeleo inayofungamana na zile juhudi za kuyatekeleza, kwa wakati, Malengo ya Maendeleo ya Milenia yanayohusu juhudi za kupunguza vifo vya watoto wachanga ulimwenguni.