Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM wajitayarisha kuhudumia waathirika wa ukama Kenya

UM wajitayarisha kuhudumia waathirika wa ukama Kenya

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripotiwa wiki hii kuandaa operesheni za kuhudumia misaada ya kunusuru maisha ya watu milioni 3.5, walioathirika na mavuno haba, kutokana na mvua chache katika Kenya mashariki.