Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kikao cha mwaka cha wenyeji wa asili kimefunguliwa rasmi Makao Makuu

Kikao cha mwaka cha wenyeji wa asili kimefunguliwa rasmi Makao Makuu

Tume ya Kudumu ya UM juu ya Masauala ya Wenyeji wa Asili (UNPFII) imeanzisha kikao cha mwaka, kitakachokua karibu wiki mbili, kwenye Makao Makuu ya UM na kuendelea mpaka tarehe 29 Mei (2009), kwa makusudio ya kusailia taratibu za kuharakisha utekelezaji wa Mwito wa Kimataifa juu ya Haki za Wenyeji wa Asili.