Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali ya mapigano Mogadishu inachukiza na lazima ikomeshwe haraka, inasema UNHCR

Hali ya mapigano Mogadishu inachukiza na lazima ikomeshwe haraka, inasema UNHCR

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeeleza kutoridhika na kuselelea kwa hali ya mapigano, vurugu na fujo katika Usomali kwa sasa.