Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Miradi ya kuimarisha miundombinu ya miji inazingatiwa na mameya

Miradi ya kuimarisha miundombinu ya miji inazingatiwa na mameya

Ijumatano ya leo, kwenye Makao Makuu ya UM, wamekusanyika mameya na wawakilishi mbalimbali kutoka miji mikuu kadha ya ulimwengu, kuhudhuria Mkutano wa kuzingatia taratibu mpya za kuandaa miundombinu imara itakayotumiwa katika miji.