Miradi ya kuimarisha miundombinu ya miji inazingatiwa na mameya
Ijumatano ya leo, kwenye Makao Makuu ya UM, wamekusanyika mameya na wawakilishi mbalimbali kutoka miji mikuu kadha ya ulimwengu, kuhudhuria Mkutano wa kuzingatia taratibu mpya za kuandaa miundombinu imara itakayotumiwa katika miji.