Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF yaanzisha Zimbabwe kampeni ya ulinzi dhidi ya utoroshaji watoto

UNICEF yaanzisha Zimbabwe kampeni ya ulinzi dhidi ya utoroshaji watoto

Shirika la Kimataifa juu ya Uhamiaji (IOM) pamoja na UNICEF, yameanzisha kampeni ya miezi mitatu Zimbabwe, iliokusudiwa kuimarisha hifadhi bora kwa watoto na uhamaji ulio salama.