Uamuzi wa mahakama ya jeshi la JKK waungwa mkono na MONUC
Alan Doss, Mjumbe Maalumu wa KM kwa JKK ameyakaribisha maamuzi ya mahakama ya kijeshi la taifa ya kuwatia hatiani maofisa 20 wa jeshi, waliotuhumiwa kushiriki kwenye makosa yanayojumlisha wizi wa mabavu, jinai dhidi ya utu na vitendo haramu vya kunajisi raia kihorera.